Nafasi Mpya za Kazi Utumishi; Ofisi ya Rais TAMISEMI ni Wizara pekee ambayo Makao Makuu yake yalianzia Jijini Dodoma tangu mwanzoni mwa miaka ya sabini tangu Serikali ilipotangaza Makao Makuu ya Serikali kuwa ni Dodoma na kwa Dar es salaam kumekuwa na Ofisi ndogo.
Uwepo wa Makao Makuu Dodoma ulikua na lengo la kutoa fursa sawa kwa wadau wake wakuu hususan Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kufika Dodoma kwa urahisi wanapofuata huduma mbalimbali.
Fursa hizi katika utumishi wa umma zinatoa nafasi kwa vijana wa kitanzania ambao wamejikita katika taaluma za uhandisi, mipango miji, na usimamizi wa ardhi kuleta mabadiliko ya kweli kwenye jamii kupitia elimu.
Utumishi wa umma, kupitia kwenye taasisi za elimu ya juu Chuo Kikuu Ardhi imetoa ajira zifuatazo.

Nafasi Mpya za Kazi Utumishi
Nafasi Mpya za Kazi Chuo Kikuu Ardhi (ARU) 2024
Chuo Kikuu Ardhi kinatoa nafasi saba (7) tofauti za kazi kwa wahadhiri na wasaidizi wa ufundishaji (Tutorial Assistants na Assistant Lecturers). Nafasi hizi ni maalumu kwa wataalamu wenye elimu ya juu na uzoefu katika fani husika. Hapa chini ni orodha ya nafasi hizi:
- Tutorial Assistant (Landscape Architecture) – 1 Nafasi
- Mwajiri: Chuo Kikuu Ardhi (ARU)
- Mwisho wa Maombi: 28 Oktoba 2024
- Bonyeza hapa kuomba
- Tutorial Assistant – Quantity Surveying and Construction Economics – 2 Nafasi
- Mwajiri: Chuo Kikuu Ardhi (ARU)
- Mwisho wa Maombi: 28 Oktoba 2024
- Bonyeza hapa kuomba
- Assistant Lecturer (Quantity Surveying / Construction Economics and Management) – 2 Nafasi
- Mwajiri: Chuo Kikuu Ardhi (ARU)
- Mwisho wa Maombi: 28 Oktoba 2024
- Bonyeza hapa kuomba
- Tutorial Assistant – Urban and Regional Planning – 1 Nafasi
- Mwajiri: Chuo Kikuu Ardhi (ARU)
- Mwisho wa Maombi: 28 Oktoba 2024
- Bonyeza hapa kuomba
- Tutorial Assistant (Geomatics, Geospatial Sciences) – 1 Nafasi
- Mwajiri: Chuo Kikuu Ardhi (ARU)
- Mwisho wa Maombi: 28 Oktoba 2024
- Bonyeza hapa kuomba
- Tutorial Assistant (Real Estate Finance) – 1 Nafasi
- Mwajiri: Chuo Kikuu Ardhi (ARU)
- Mwisho wa Maombi: 28 Oktoba 2024
- Bonyeza hapa kuomba
- Tutorial Assistant Land Management and Valuation – 1 Nafasi
- Mwajiri: Chuo Kikuu Ardhi (ARU)
- Mwisho wa Maombi: 28 Oktoba 2024
- Bonyeza hapa kuomba
Vigezo vya Kuitwa Kazini
Wale wanaotaka kuomba nafasi hizi lazima wazingatie vigezo vilivyowekwa na Chuo Kikuu Ardhi. Kwa kawaida, nafasi za kazi kama hizi zinahitaji mgombea kuwa na shahada ya juu inayotambulika katika fani husika. Aidha, uzoefu wa kazi au mafunzo katika fani hiyo huongeza nafasi ya mgombea kupitishwa.
Jinsi ya Kuomba
Ili kuomba nafasi yoyote kati ya hizi, waombaji wanatakiwa:
- Kuingia kwenye tovuti ya Utumishi na kujisajili.
- Kujaza fomu za maombi na kuambatanisha nakala za vyeti vyao vya kitaaluma.
- Kuwasilisha maombi yao kabla ya tarehe ya mwisho – 28 Oktoba 2024.
Leave a Reply