Nafasi 20 za Kazi za Mstatistiki katika Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS);
Muhtasari wa Kazi
Cheo: Mstatistiki II – Nafasi 20
Taasis: Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) – Tanzania
Mahali: Dar es Salaam
Mwajiri: Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS)
Muda wa Maombi: 08 Novemba 2024 hadi 21 Novemba 2024
Majukumu ya Kazi
- Kukusanya takwimu rasmi za kitaifa;
- Kubuni vifaa vya tafiti na vipimo vya kudhibiti ubora;
- Kuandaa na kuunganisha ripoti rasmi za takwimu za mara kwa mara;
- Kusambaza bidhaa rasmi za takwimu kulingana na mipango;
- Kuandaa ripoti za utendaji za mara kwa mara; na
- Kutekeleza majukumu mengine yanayohusiana na kazi kama atakavyoelekeza msimamizi.
Sifa na Uzoefu Unaoitajika
Mwombaji awe na Shahada ya Kwanza katika moja ya fani zifuatazo: Takwimu Rasmi, Takwimu, Sayansi ya Takwimu, Sayansi ya Takwimu na Data, au sifa zinazofanana kutoka Taasisi zinazotambuliwa.
Mshahara: PGSS 6.1
Jinsi ya Kutuma Maombi
Ili kutuma maombi yako, tafadhali fuata kiungo kilicho hapa chini:
Makala nyinginezo:
- Nafasi 4 za Ajira Vodacom Tanzania ,November 2024
- Nafasi 3 za kazi NBC Bank Tanzania, October 2024
- Nafasi za kazi CRDB Bank, October 2024
- Nafasi za kazi Boomplay, October 2024
- Nafasi 25 Za Kazi Chuo Kikuu Cha Ardhi, October 2024
- Nafasi ya Kazi ya Dereva Binafsi katika DUTENI,Oktoba 2024
- Nafasi Za Kazi Kutoka NECTA 2024
- Nafasi za Ajira kutoka Dangote Group Tanzania Ltd, October 2024
- 218 Nafasi za Ajira Serikalini -AJIRA MPYA UTUMISHI,OKTOBA 2024
- Nafasi za Kazi 19 NMB Bank, Oktoba 2024
- Nafasi 258 za Ajira UTUMISHI: Nafasi za Ajira Serikalini,Oktoba 2024
- Nafasi 12 za Kazi TANROADS,November 2024
- Nafasi za Kazi Ubalozi wa Marekani Tanzania,November 2024
- Nafasi 2 za Ajira NBC Bank Tanzania: NBC Bank Inatafuta Wafanyakazi Wenye Sifa
Leave a Reply